Sababu za biashara nyingi kufilisika

1.kutokuwa na daftari la mapato na matumizi.

2.kutokujali madeni madogo madogo.

3.kutokuwa na usimamizi makini kwenye biashara.

4.kutokufanya hesabu za tathimini za mtaji wako.

5.kuwa na matumizi holera.

Hazo Ni sababu 5 muhimu zinazopekea mtu afilisike kwa haraka sana. Ahsante

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started